Zoezi la kukabidhiana madaraka limefanyika Jumanne wiki hii.
Hata hivyo Waziri Mkuu Edourad Philippe alitaka nafasi hiyo ishikiliwe na Gérald Darmanin.
Lakini wawili hawa "wanaaminiana" kwa mujibu wa Waziri Mmambo mengi. Na nina uhakika kuwa umejihami vizuri kwa kutekeleza majukumu haya. "
Christophe Castaner, mwenye umri wa miaka 52 ameteuliwa kwa idhini ya rais wa Emmanuel Macron.