Pata taarifa kuu
UFARANSA-SIASA

Ufaransa: Christophe Castaner akabidhiwa funguo za wizara ya mambo ya ndani

Wiki mbili baada ya Gerard Collomb kujiuzulu kwenye nafasi ya waziri wa mambo ya ndani nchini Ufaransa, hatimaye Christophe Castaner amekabidhiwa fungo za wizara hiyo na kushikilia nafasi ambayo Waziri Mkuu Edouard Philippe amekuwa akikaimu.

Waziri mpya wa Mambo ya Ndani Christophe Castaner (kushoto) na Waziri Mkuu Edouard Philippe (kulia), Oktoba 16, 2018.
Waziri mpya wa Mambo ya Ndani Christophe Castaner (kushoto) na Waziri Mkuu Edouard Philippe (kulia), Oktoba 16, 2018. REUTERS/Pascal Rossignol
Matangazo ya kibiashara

Zoezi la kukabidhiana madaraka limefanyika Jumanne wiki hii.

Hata hivyo Waziri Mkuu Edourad Philippe alitaka nafasi hiyo ishikiliwe na Gérald Darmanin.

Lakini wawili hawa "wanaaminiana" kwa mujibu wa Waziri Mmambo mengi. Na nina uhakika kuwa umejihami vizuri kwa kutekeleza majukumu haya. "

Christophe Castaner, mwenye umri wa miaka 52 ameteuliwa kwa idhini ya rais wa Emmanuel Macron.

Kusambaza :
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.