Waziri wa Mambo ya nje wa nchi hiyo Didier Reynders amesema utaratibu unaendelea,ili kumruhusu Bemba kuungana na familia yake inayoishi katika taifa hilo la bara Ulaya.
Bemba, ameomba kuishi nchini Ubelgiji kwa muda wa miezi mitatu na tayari ameomba kibali.
Haijafamika iwapo atarejea nchini DRC na labda kuwania urais mwezi Desemba.
Bonyeza hapa kusoma zaidi kuhusu Bemba:-