Tamko la Kisheria
Mhariri
France Médias Monde
Kampuni yenye Mtaji wa euros 23,045,660
RCS Nanterre: 501 524 029
Makao makuu:
80, rue Camille Desmoulins
92130 Issy Les Moulineaux
France
DMhariri Mkuu: Marie-Christine Saragosse
Makampuni watoa huduma ya Makazi
- Claranet
18-20 rue du Faubourg du Temple
75011 Paris
France
Phone: +33 1 70 13 70 00 - Akamai
12 rue Oradour-sur-Glane
75015 Paris
France
Masharti ya matumizi ya huduma za RFI
Matumizi yoyote ya tovuti au ya simu ya mkononi na / au tablet vinavyosambazwa na RFI ("Tovuti") inahitaji kukubaliana na masharti ya matumizi kwa mtumiaji. Neno "matumizi" linahusiana kazi yoyte ikiwa ni pamoja na kushauriana, kutafuta na kupakua kwenye Tovuti.
RFI inaweza kubadili wakati wowote masharti ya matumizi bila taarifa kabla ili kukabiliana na mabadiliko kulingana na sheria ya Huduma na kanuni taratibu. Kwa hiyo, tunashauri watumiaji wote kuangalia mara kwa mara.
Miliki
Yaliyomo RFI
© RFI - Haki zote za uzalishaji na usambazaji zimehifadhiwa.
Taarifa au habari zote zilizomo katika tovuti hii (sauti, maandiko, picha, michoro, majina, nembo) zinalindwa na haki miliki ya RFI.
Kwa hiyo, hakuna taarifa yoyote, kwa ujumla au sehemu, kuwakilishwa, kutolewa, kutafsiriwa, kutumiwa kibiashara au kutumika kwa namna yoyote ile bila ya idhini kwa maandishi ya RFI.
RFI imesajiliwa chini ya France Médias Monde. Kupitia usajili wa RFI, kuhusu muhusika wa tatu wa mtandao, haitoi hakikisho au uwajibikaji kuhusu RFI kama muhusika wa tatu wa yaliyomo kwenye mtandao au matumizi yake kwa namna yoyote ile yatakavyowekwa.
Dhamana na majukumu
Maudhuhi ya tovuti yanatolewa kama yalivyoi, bila dhamana yoyote ya aina yoyote, ya wazi wala wala kuhusisha kitu kingine zaidi ya athari ambayo sheria inaruhusu, hususan bila dhamana kwamba mahudhui yatajibu mahitaji ya mtumiaji wala kwamba maudhui ni ya hivi sasa.
Pamoja na ukweli kwamba RFI inajaribu iwezekanavyo kutoa maudhui ya kuaminika kwenye tovuti yake, hahakikishi kwamba kila kitu ni sahihi, maandishi, kusahau na / au virusi. Wakati wowote na bila ya onyo RFI ina haki ya kufanya maboresho na / au kufanya marekebisho ya maudhui ya Tovuti yake.
Viungo
RFI haihusiki kamwe na maudhui ya maeneo ya wengine ambayo si ya mchapishaji wake.
Data binafsi
Chini ya sheria No 78-17 ya Januari 6, 1978 inayohusiana na data, mafaili na uhuru, kila mtumiaji ana haki ya upinzani (Sehemu 38 ya Sheria), upatikanaji (Sehemu ya 39, 41 na 42 cha Sheria ya) au masahihisho ya data zinazohusiana naye mwenyewe. Hivyo uweza kulazimisha kurekebisha, kukamilisha, kufafanua, au kufuta taarifa ambazo si sahihi, zisizokamilika, potovu, za zamani, au ambao ukusanyaji, matumizi, na hifadhi yake ni marufuku.
Kila mtumiaji anaweza kutumia haki hizi kwa kuandikia:
France Médias Monde - RFI
Direction des Environnements Numériques
80, Camille Desmoulins
92130 Issy les Moulineaux
France
Cookies
Cookie ni nini?
Wakati mtumiaji anatembelea tovuti, tovuti inaweza moja kwa moja kutuma cookie kwenye kompyuta ya mtumiaji. Hizi ni faili ndogo zenye maandishi ambayo uwezesha sava kutambua kompyuta na hivyo kujua kama kompyuta (na pengine mtumiaji) tayari alitembelea tovuti. Kama kompyuta inajumuishwa na tovuti, tovuti itaangalia na kutumia cookie yoyote ambayo imeachwa kwenye diski gumu ya kompyuta. Cookie peke yake haiwezi kuwawezesha mtumiaji kutambulika, lakini tu kompyuta iliyotumiwa na mtumiaji huyo.
Cookies zinarekodi sehemu ya tovuti ambayo kompyuta imetembelea, na kiasi cha muda kilichotumiwa huko.
Matumizi ya cookies na Tovuti
Wakati wa kutembelea tovuti, kurasa zilionekana na mtumiaji, pamoja na cookie zinapakuliwa na mtumiaji wa kompyuta.
Watumiaji wanaweza kutokubali matumizi ya cookie kwa kuseti kwamba hazihitajiki lakini itakuwa vigumu kwa mtumiaji kutumia huduma kadhaa za kibinafsi, na pia kuzikataa kunaweza kupunguza kasi au kuzuia upatikanaji wa baadhi ya maeneo ya Tovuti.
Sheria husika - Uhuru wa vifungu
Masharti ya matumizi yatawasilishwa na kutafsiriwa kwa mujibu wa sheria ya Ufaransa. Mzozo wowote utakuwa nje ya sheria hii utapelekwa mbele ya mahakama ya Nanterre. Kama hatua yoyote ya sheria ya matumizi itaangazwa kuwa ya bila ufanisi, hatua zilizobaki zitazingatiwa kama zinahusika na sheria.
Kutokuwepo kwa application au madai yoyote ya RFI kuhusu hatua za Masharti ya matumizi au haki yoyote kwa vyovyote hivyo hakuweza kutafsiriwa kuwa RFI imekataa mpangilio au haki hizo, isipokuwa RFI itaakubaliana vinginevyo kwa maandishi.