Sanaa ya Uchoraji picha si tu imekuwa sehemu ya ajira kwa vijana nchini Tanzania bali imekuwa sehemu ya maisha na ndoto ya watoto kuja kuwa wachoraji wakubwa,kwa kufanya kazi wanazozipenda Maishani.Ungana na Steven Mumbi akiongea na Mchoraji na Mwalimu wa sanaa hiyo Sige Lucas katika Mkala ya Nyumba ya Sanaa
Vipindi vingine
-
Tanzania: Sanaa ya uigizaji, tunamuangazia Asha Jumbe maarufu White Maria
Asha Jumbe maarufu White Maria ni Muigizaji aliyejizolea umaarufu akiwa na umri wa Miaka nane tu, sasa ni mtu Mzima aja kivingine kufanya sanaa ya Fimalu za kiswahili,Ungana na Steven Mumbi katika Makala ya Nyumba ya Sanaa akizungumzia safari yake ya Uigizaji.11/05/202420:12 -
Wiki hii makala haya yanamuangazia Steven Ibrahim maarufu Eddy Music
Sanaa ya Muziki imenihitaji kuliko nilivyo ihitaji, ni kauli yake Steven Ibrahim maarufu Eddy Music alipozungumza na Steven Mumbi katika Makala ya Nyumba ya Sanaa.04/05/202420:03 -
Muziki wa injili na Obby Alpha ambaye ametunga vibao kama bora kushukuru
Msani huyo amesema kuwa alitunga vibao kama bora kushukuru kutokana na changamoto za kimaisha alizokuwa anakabiliwa nazo kipindi fulani katika maisha yake.27/04/202420:02 -
Zanzibar: Fahamu zaidi kuhusu Muziki wa Baibuda katika makala haya
Mwandishi wetu Steven Mumbi amezungumza na msani wa muziki huu wa Baibuda13/04/202420:09 -
Afrobongo na Bruce Africa
Makala haya hukuletea historia ya sanaa na wasani barani Afrika.06/04/202420:03