Muziki Ijumaa
Nathalie Makoma msanii wa Uholanzi mwenye asili ya DRCongo
Imechapishwa:
Cheza - 11:14
Makala ya Muziki Ijumaa Juma hili tunamleta kwenu Nathalie Makoma, mmoja kati ya waimabji wa kundi la Makoma lililopiga fora katika miaka ya kadhaa iliopita. Nathalie kwa sasa anaendeleza gurudumu pekeake, ambatana na Ali Bilali kufaham mengi zaidi kuhusu Msanii huyu. unaweza pia kumfollow Ali Bilali kwenye facebook: Billy Bilali, kwa Instagram: billy_bilali