Nyumba ya Sanaa
Msanii Ramadhani Hassan maarufu kwa jina la Ramso ndani ya Nyumba ya Sanaa
Imechapishwa:
Cheza - 19:51
Makala ya juma hili inazungumza na mwanamuziki wa muziki wa Bongo Fleva Ramadhani Hassan maarufu kwa jina la Ramso, sikiliza makala hii upate kujua mwelekeo wa muziki huu nchini Tanzania.