Nyumba ya Sanaa
Eliane Becks msanii wa Burundi anayeishi nchini Uholanzi
Imechapishwa:
Cheza - 19:30
Makala haya ya Nyumba ya Sanaa yanamzungumzia msanii wa Uholanzi mwenye asili ya Burundi anayeishi nchini Uholanzi na ambaye anatumia ala za kitamaduni. Anazungumza hapa na mtangazaji Edmond Lwangi Tcheli.