Nyumba ya Sanaa
Tanzania yaondokewa na msanii nguli wa filamu,Steven Charles Kanumba
Imechapishwa:
Cheza - 19:50
Nyumba ya sanaa yakumbwa na habari ya tanzia kufuatia kifo cha msanii mashuhuri Afrika mashariki na nje ya bara,Steven Charles Kanumba ambaye alifariki ghafla usiku wa kuamkia jumamosi 7 april 2012 baada ya kuwa na mgogoro na mpenzi wake.Fahamu yaliyojiri,.