Nyumba ya Sanaa
Tamasha la tisa la sauti za busara lakonga nyoyo za mashabiki huko mji mkongwe Zanzibar
Imechapishwa:
Cheza - 20:08
Katika Nyumba ya sanaa leo mtangazaji Edmond Lwangi Tcheli akishirikiana na Ebby Shaaban Abdalah wanajikita katika tamasha la kimataifa la sauti za busara visiwani Zanzibar nchini Tanzania.