Pata taarifa kuu
UJERUMANI- UFARANSA-USHIRIKIANO

Ufaransa na Ujuerumani kuimarisha uhusiano wao

Kansela wa Ujerumani, Olaf Scholz na rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron, wamekubaliana kuimarisha uhusiano wa nchi zao, licha ya mvutano uliosababishwa na uvamizi wa Urusi nchini Ukraine.

Waziri mkuu wa Ujerumani Olaf Scholz na rais wa Ufaransa  Emmanuel Macron
Waziri mkuu wa Ujerumani Olaf Scholz na rais wa Ufaransa Emmanuel Macron AFP - CHRISTOPHE ENA
Matangazo ya kibiashara

Katika hotuba yake rais Macron, amesema kuna mambo mengi ya muhimu kwa nchik hizo kushirikiana kuliko tofauti walizonazo.

“Ujerumani na Ufaransa kwa sababu tayari zimesha safisha njia  ya upatanisho lazima wawe waanzilishi wakuijenga upya ulaya yetu.”amesema rais Macron.

Juma lililopita Ufaransa haikufurahishwa na Ujerumani, baada ya kukataa kutoa msaada wa vifauri vyake vya kisasa kwa Ukraine.

Kusambaza :
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.