UFARANSA- SAUDI ARABIA
Mwanamfalme wa Saudi Arabia Mohammed bin Salman kuzuru Paris
Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron, hivi leo anatarajiwa kuwa mwenyeji wa mwanamfalme wa Saudi Arabia Mohammed bin Salman, jijini Paris, Macron akipuuza wakosoaji wake licha ya kiongozi huyo kudaiwa kuhusika na mauaji ya mwanahabari Jamal Khashoggi. Minzile Ijai, ana maelezo Zaidi......
Imechapishwa:
Cheza - 00:40