Italia - Siasa
Italia: Waziri mkuu kuendelea kuhudumu, baada ya kujiuzulu
Afisi ya rais nchini Italia, imesema waziri mkuu Mario Draghi, ataendelea kuhudumu hadi pale waziri mkuu mpya atapochaguliwa, hii ni baada ya Draghi kuwasilisha barua yake kujiuzulu mapema leo.
Imechapishwa:
Matangazo ya kibiashara
Hata hivyo taarifa kutoka kwa afisi ya rais Sergio Mattarella, hajasema iwapo rais huyo atalivunja bunge au kuitisha uchaguzi wa mapema.