Mashirika ya kiraia Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, yametangaza siku tatu za mgomo na maombolezo kwa sababu ya mauaji dhidi ya raia katika Wilaya za Beni, Bukavu na Lubero. Je, njia hii itasaidia kupambana na mauaji haya ? Ndio mada yetu leo.
Vipindi vingine
-
Methodone kupambana na Ukimwi miongoni mwa watu wanaotumia dawa za kulevya
Kenya imeanza matumizi ya methadone kuwasaidia waraibu wa dawa za kulevya kupambana na Ukimwi03/05/202408:40 -
10:09
-
Ushirikiano wa Afrika na benki ya Dunia pamoja na masharti magumu ya mikopo
Viongozi wa Afrika wamekutana Nairobi kujadili ushirikiano zaidi na benki ya dunia30/04/202410:00 -
Mafuriko yanavyoendelea kuutesa ukanda wa Afrika Mashariki
Ukanda wa Afrika ya mashariki na Pembe ya Afrika unaendelea kupokea mvua kubwa30/04/202410:13 -
10:00