Gurudumu la Uchumi
Mkutano wa wakuu wa nchi za SADC na maamuzi ya kuwa na maendeleo endelevu
Imechapishwa:
Cheza - 09:23
Mtangazaji wa makala haya, hii leo ameangazia mkutano wa wakuu wa nchi za Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika SADC waliokutana mjini Gaborone, Botswana na kupitisha maazimio ya mataifa yao kuongeza juhudi kufikia malengo ya maendeleo endelevu.