Maandamano yanaendelea kushuhudiwa nchini Burundi, kumshinikiza rais Piere Nkurunziza kuachana na mpango wa kuwania urais kwa muhula wa tatu nchini humo mwezi Juni.Juma lililopita kuliwa na mpango wa kumpindua Nkurunziza.Tunaendelea kujadili hali ya kisiasa nchini humo na maandamano yanayoendelea kushuhudiwa.