Gurudumu la Uchumi
Changamoto za kiuchumi zinazomkabili rais mteule wa Nigeria, Muhammadu Buhari
Imechapishwa:
Cheza - 09:16
Juma hili makala ya Uchumi inaangazia changamoto za kiuchumi ambazo zinamkabili rais mteule wa Nigeria, Muhammadu Buhari, ambaye alichaguliwa baada ya wananchi kuonesha kuwa na imani nae kushughulikia masuala ya usalama na kutengeneza ajira nchini humo.