Pata taarifa kuu
Gurudumu la Uchumi

Changamoto za kiuchumi zinazomkabili rais mteule wa Nigeria, Muhammadu Buhari

Imechapishwa:

Juma hili makala ya Uchumi inaangazia changamoto za kiuchumi ambazo zinamkabili rais mteule wa Nigeria, Muhammadu Buhari, ambaye alichaguliwa baada ya wananchi kuonesha kuwa na imani nae kushughulikia masuala ya usalama na kutengeneza ajira nchini humo.

Rais mteule wa Nigeria, Jenerali Muhammadu Buhari
Rais mteule wa Nigeria, Jenerali Muhammadu Buhari REUTERS
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.