Gurudumu la Uchumi
Sehemu ya pili mpango wa Serikali ya Tanzania wa BRN kuhusu ukusanyaji wa mapato
Imechapishwa:
Cheza - 08:05
Msikilizaji makala ya Gurudumu la Uchumi juma hili, inakuletea sehemu ya pili ya mfululizo wa kipindi kinachoangazia mpango wa Serikali ya Tanzania wa Big Results Now kuhusu namna bora ukusanyaji mapato inavyoendelea kuimarisha uchumi wa taifa la Tanzania.