Raia wa Misri juma hili wamepiga kura kumchagua rais wao baada ya jeshi kumwondoa madarakani Mohammed Morsi mwaka uliopita.Aliyekuwa kiongozi wa jeshi Abdel Fattah Al-Sisi anatarajiwa kuibuka mshindi.Juma hili katika Mjadala wa wiki, tunajadili uchaguzi huu na siasa za Misri.