Habari RFI-Ki
Kombe la dunia kuanza kutimua vumbi,nani ataibuka na kombe?
Imechapishwa:
Cheza - 09:37
Makala ya Habari rafiki leo inaangazia kuzinduliwa kwa michuano ya kombe la dunia nchini Brazil,mashabiki wa kandanda ulimwenguni kote wanaungana kufuatilia shamra shamra za michuano hii na vituko vyake!nini maoni ya wasikilizaji?