Israeli: Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu amesema nchi yake iko vitani
Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amesema nchi yake iko kwenye kile ambacho amekitaja kama vita na kundi la wanamgambo wa Palestina Hamas baada ya misururu ya maroketi kurushwa kutoka Ukanda wa Gaza kuelekea Israeli mapema leo Jumamosi.
Imechapishwa: Imehaririwa: