Maktaba za E.A.C za Jumatatu 30 Septemba 2013
Previous day: 28 Septemba 2013 Next day: 01 Oktoba 2013-
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ulinzi ya Kenya kumhoji Mkuu wa Usalama juu ya shambulizi la kigaidi kwenye Jumba la Biashara la Westgate
-
Watu 39 hawajulikani walipo Nchini Kenya tangu kutokea kwa mkasa wa shambulizi la kigaidi katika Jumba la Biashara la Westgate