Maktaba za E.A.C za Jumatatu 16 Septemba 2013
Previous day: 12 Septemba 2013 Next day: 17 Septemba 2013-
Hali tete katika mpaka wa DRCongo na Rwanda baada ya askari mmoja wa FARDC kutekwa na polisi wa Rwanda
-
Ofisi ya muendesha mashataka mkuu wa ICC yapata pigo jipya baada ya mashahidi wengine wanne kujiondowa kwenye kesi dhidi ya naibu rais wa Kenya William Ruto
-
Wananchi wa Rwanda wapiga kura kuwachaguwa wabunge kwa muhula mwingine wa miaka mitano
-
Naibu rais wa Kenya William Ruto awasili jijini Hague kuendelea kusikiliza kesi inayo mkabili kwenye mahakama ya kimataifa ya ICC
-
Jeshi la Uganda lawasimamisha kazi kwa muda wanajeshi wake 24 waliokuwa wakihudumu katika kikosi cha kulinda amani nchini Somalia
-
Jua Haki Zako
-
Uchaguzi wa wabunge nchini Rwanda