-
Katibu mkuu wa Umoja wa mataifa UN Ban Ki Moon ahimiza operesheni za kijeshi kuharakishwa mashariki ya DRC.
-
Marekani yasema inashirikiana na mataifa yote ya Afrika ikiwemo Kenya
-
Tume ya ukweli haki na maridhiano yatoa ripoti ya ukiukwaji wa haki za binadamu kenya kuanzia uhuru.