-
Marekani na Umoja wa Ulaya waonya kuhusu kuendelea kushuhudiwa kwa mzozo wa kisiasa nchini Misri
-
Urusi yasikitishwa na hatua ya rais Obama kusitisha ziara yake mjini Moscow mwezi ujao
-
Mahakama ya juu nchini Venezuela yatupilia mbali rufaa ya kupinga matokeo ya uchaguzi wa mwezi April