Nyumba ya Sanaa
Makubaliano kati ya Tanzania na Ufaransa kuhusu ukuzaji wa sanaa
Imechapishwa:
Cheza - 20:10
Wasanii wa Muziki wa Singeli wafurahia kupewa Msaada na Serikali ya Ufaransa ili kuinua kazi zao kimataifa, Ungana na Steven Mumbi akiangazia namna fedha hizo zitakavyowasaidia kubadili Sanaa zao.