Nyumba ya Sanaa
Vijana wanaofanya sanaa ya muziki wa bongo fleva kutoka Dar es salaam
Imechapishwa:
Cheza - 20:08
Abby love na Addo Six, vijana wanaofanya Sanaa ya Muziki wa Bongo Fleva kutoka Dar es salaam wakizungumza na Steven Mumbi katika Makala ya Nyumba ya Sanaa.