Nyumba ya Sanaa
Lwiza Mbutu msani aliyedumu na bendi ya African Stars maarufu 'twanga pepeta'
Imechapishwa:
Cheza - 20:18
Lwiza Mbutu ni Muimbaji Pekee wa Muziki wa Dansi nchini Tanzania aliyedumu na Bendi ya African Stars maarufu 'twanga pepeta' Pekee tangu kuasisiwa kwa Bendi hiyo mwaka 1998, nini siri, Steven Mumbi amezungumza na Lwiza Mbutu Makala ya Nyumba ya Sanaa .