Nyumba ya Sanaa
Msanii chipukizi Hussein Rashid azungumzia safari yake nchini Tanzania
Imechapishwa:
Cheza - 20:04
Mkoa wa Kigoma ,magharibi mwa Tanzania mwambao mwa ziwa Tanganyika ni miongoni mwa mikoa iliyotoa wasanii wakubwa nchini akiwemo Ali Kiba, sasa vijana Chipukizi wanaibuka kufanya sanaa hiyo. Kutana na Hussein Rashid Msanii chipukizi katika Makala ya Nyumba ya Sanaa.