Muziki Ijumaa
Muziki kama ulivyoomba wewe msikilizaji ijumaa ya mwisho wa mwezi Julai.
Imechapishwa:
Cheza - 10:05
Leo tumekuletea burudani tukiangazia kazi za wanamuziki Fally Ipupa, Bahati akitokea Kenya, SAT-B akitokea Burundi na Ali Kiba miongoni mwa wasanii wengine ambao utawasikia kwenye Makala haya.