Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho
Matumizi ya puto kwenye usafiri wa angani katika sekta ya utalii nchini tanzania
Imechapishwa:
Cheza - 09:31
Wakati dunia inapoendelea kukusanya mikakati ya kupambana na mabadiliko ya Tabia nchi, sekta ya utalii nchini Tanzania imeboresha mfumo wa Usafirishaji wa watalii kwa kutumia Puto zenye injini isiyotumia Mafuta kutoa moshi.Mwenzangu Ruben Lukumbuka amezungumza NA jOHN CORSE ni mkurugenzi wa Ballon Serengeti Safaris kuangazia mbinu zao.