Biashara ya mkaa ni moja kati ya mambo yanayochangia pakubwa uharibifu wa misitu katika maeneo mengi ya ukanda wa Afrika Mashariki, hii ni kutokana na ukataji wa misitu kwa matumizi ya mkaa.Ripoti iliyotolewa na shirika la Global initiative against transnational organized crimes, nchi ya Kenya inaongoza katika biashara ya mkaa, nchi zingingine zikiwa Uganda, Sudan Kusini na pia Tanzania.
Vipindi vingine