Pata taarifa kuu
Mazingira Leo, Dunia Yako Kesho

Biashara ya mkaa inavyoharibu mazingira

Imechapishwa:

Biashara ya mkaa ni moja kati ya mambo yanayochangia pakubwa uharibifu wa misitu katika maeneo mengi ya ukanda wa Afrika Mashariki, hii ni kutokana na ukataji wa misitu kwa matumizi ya mkaa.Ripoti iliyotolewa na shirika la  Global initiative against transnational organized crimes, nchi ya Kenya inaongoza katika biashara ya mkaa, nchi zingingine zikiwa Uganda, Sudan Kusini na pia Tanzania.

Kuteketea kwa msitu
Kuteketea kwa msitu CARL DE SOUZA AFP/File
Vipindi vingine
  • 10:12
  • 10:10
  • 10:03
  • 09:59
  • 10:09
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.