Pata taarifa kuu
Jua Haki Zako

Haki ya watoto chotara shirika la African Futures Lab linataka Ubelgiji kuwatambua

Imechapishwa:

Shirika lisilo la kiserikali la kutetea haki za binadamu la African Futures Lab, lenye makao yake jijini Brussels nchini Ubelgiji, lilizindua ripoti kushinikiza watoto chotara na mama zao kutoka nchini DRC, Rwanda na Burundi, kulipwa fidia, kutambuliwa kuwa raia wa Ubelgiji na kupata haki nyingine za msingi.

A European Union flag flutters outside the EU Commission headquarters, in Brussels, Belgium, February 1, 2023 REUTERS/Yves Herman/File
A European Union flag flutters outside the EU Commission headquarters, in Brussels, Belgium, February 1, 2023 REUTERS/Yves Herman/File REUTERS - YVES HERMAN
Matangazo ya kibiashara

Wakati wa ukoloni wa nchi ya Ubelgiji kwa nchi hizo za maziwa makuu, wakoloni, wanaume wazungu kutoka nchini Ubelgiji, waliwachukua kwa nguvu wanawake kutoka DRC, Rwanda na Burundi na kuwapeleka Ubelgiji na kuwazalisha, huku wengine wakifanyiwa hivyo wakiwa kwenye nchi zao.

Makala haya yameandiliwa na Benson Wakoli

Soma piaHaki ya mtoto kupata elimu ( Fizi)

Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.