Pata taarifa kuu
Jua Haki Zako

Hali ya haki za binadamu nchini Kenya na Tanzania

Imechapishwa:

Visa vya raia kupotea na kisha kuonekana  baada ya siku kadhaa nchini Kenya si vipya tena, hili likishuhudia mara kwa mara nchini Kenya, polisi wakituhumiwa kuhusika kwenye visa hivi

Maofisa wa polisi wa Kenya wakiwa mbele ya Mahakama Kuu, huku mvua ikinyesha, Nairobi, Kenya, Novemba 14, 2017.
Maofisa wa polisi wa Kenya wakiwa mbele ya Mahakama Kuu, huku mvua ikinyesha, Nairobi, Kenya, Novemba 14, 2017. AP
Matangazo ya kibiashara

lakini je tume ya haki za binadamu nchini Kenya inafahamu hili? na je nchini Tanzania hali ya hali za haki za binadamu ipo je?

Maswali haya yanajibiwa ndani ya makala.

Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.