Pata taarifa kuu
Jua Haki Zako

Uhalifu wa kivita unafanyika Sudan : Amnesty International

Imechapishwa:

Shirika la kimataifa la ketetea haki za binadamu Amnesty International  katika repoti yake ya hivi punde limesema pande hasimu nchini Sudan, zinatekeleza uhalifu wa kivita na kutaka jamii ya kimataifa kuingilia kati kunusuru hali.

Jenerali Abdel Fattah al-Burhane na mpinzani wake Jenerali Mohamed Hamdane Daglo
Jenerali Abdel Fattah al-Burhane na mpinzani wake Jenerali Mohamed Hamdane Daglo © RFI
Matangazo ya kibiashara
Jenerali Fattah al-Burhan, katikati ya picha,
Jenerali Fattah al-Burhan, katikati ya picha, via REUTERS - SUDANESE ARMED FORCES

Shirika hilo linasema raia wa taifa hilo wanapitia mithila makubwa mikoni mwa wapiganaji wa RSF na jeshi, kwa mengi zaidi skiza makala haya.

Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.