Changamoto za kupata elimu bora barani Africa zinazidi kuongezeka kadri watoto wanavyojiunga na shule, hili linatokana na ukosefu wa miundo bora pamoja na waalimu wa kutosha .
Matangazo ya kibiashara
Hali hii imechangia watoto wengi kutojua kusoma na kuandika licha ya kuwa kwenye madarasa ya juu.
Mfano nchini ,utafiti uliofanywa na shirika la uweza waonyesha kuwa asilimia 60 ya wanafunzi wa gredi ya nne nchini humo hawawezi kusoma masomo ya wale wa gredi ya tatu, ili kufahamu zaidi skiza makala haya.