Pata taarifa kuu
Jua Haki Zako

Haki ya watoto kupata elimu barani Africa

Imechapishwa:

Changamoto za kupata elimu bora barani Africa zinazidi kuongezeka kadri watoto wanavyojiunga na shule, hili linatokana na ukosefu wa miundo bora pamoja na waalimu wa kutosha .

Watoto wa shule shuleni huko Harare, Zimbabwe, Septemba 28, 2020.
Watoto wa shule shuleni huko Harare, Zimbabwe, Septemba 28, 2020. © Tsvangirayi Mukwazhi/AP
Matangazo ya kibiashara

 

Elimu ya wasichana  Kusini mwa Jangwa la Sahara
Elimu ya wasichana Kusini mwa Jangwa la Sahara © Plan International

Hali hii imechangia watoto wengi kutojua kusoma na kuandika licha ya kuwa kwenye madarasa ya juu.

Mfano nchini ,utafiti uliofanywa na shirika la uweza waonyesha kuwa asilimia 60 ya wanafunzi wa gredi ya nne nchini humo hawawezi kusoma masomo ya wale wa gredi ya tatu, ili kufahamu zaidi skiza makala haya.

Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.