Jua Haki Zako
Haki za wanawake katika nyadhifa za uongozi Afrika Mashariki
Imechapishwa:
Cheza - 09:50
Kwenye makala haya tunajikita kwenye haki za wanawake kuwania au kuteuliwa kwenye nyadhifa mbalimbali za uongozi katika bara la Africa hasa Africa Mashariki.Mwenyekiti wa chama cha mawili wanawake nchini Kenya, FIDA, Nacy Ikinu, Mbunge Milly Odhiambo kutoka Kenya, na Lucy Githaika ambaye ni mkurungezi wa shirika la kutetea wanawake la Diakonia, wanashiriki mahakala haya.