Jua Haki Zako
Mashirika ya kiraia yanatoa mtazamo kuhusu kufungwa kambi za wakimbizi Kenya
Imechapishwa:
Cheza - 09:54
Masharika ya kiraia nchini Kenya yanapinga hatua ya serikali kutangaza kufungwa kwa Kambi za wakimbizi za Kakuma na Dadaab, masharika hayo yakisema serikali inakikuka sheria sheria.Mwanshidhi wetu Benson Wakoli, amefanya mahojiano na James Cira, Kutoka Twaweza East Africa Kenya, kujua msimamo wa mashirika ya kiraia kuhusu kufungwa kwa kambi hizo.