Habari RFI-Ki
Nchi za Afrika Mashariki kuongeza kodi ili kupata mapato zaidi ya serikali
Imechapishwa:
Cheza - 09:53
Hivi karibuni tumeshuhudia baadhi ya nchi za Afrika Mashariki kama vile Kenya, Uganda na Tanzania zikipendekeza mabadiliko ya sheria ili kuongeza kodi, kwa lengo la serikali kuongeza mapato