Habari RFI-Ki
Maoni ya waskilizaji kuhusu tuhuma za Burundi kwa Rwanda kuwaunga mkono waasi
Imechapishwa:
Cheza - 09:56
Maoni ya waskilizaji kuhusu tuhuma za rais wa Burundi dhidi ya Rwanda kwamba inawaunga mkono waasi wa M23 ambao walitekeleza mauaji hivi karibuni nchini Burundi katika eneo la mpaka wa Burund na DRC na kuwauwa watu 20.