Habari RFI-Ki
Jumuiya ya kimataifa kuongeza shinikizo kwa Israel na Hamas kusitisha mapigano
Imechapishwa:
Cheza - 09:48
Kwenye makala yetu ya leo tunajadili kuhusu kuhusu jumuiya ya kimataifa kuongeza shinikizo kwa Israel na Hamas kusitisha mapigano.Unafikiri kwa nini mataifa yanashindwa kuzishinikiza pande hizo kusitisha mapigano? Nini zaidi kifanyike kupata suluhu ya mzozo kati ya pande hizo mbili ? sikiliza