Habari RFI-Ki
Umoja wa mataifa washindwa kuafikiana kuhusu mapigano kwenye eneo la Gaza
Imechapishwa:
Cheza - 09:59
Msikilizaji kwenye makala yetu hii leo tunazungumza kuhusu, baraza la usalama katika Umoja wa Mataifa kushindwa kuafikiana kuhusu usitishwaji wa mapigano kwenye eneo la Gaza baada ya kura ya turufu ya Marekani.Hebu sikiliza maoni ya raia kutoka mataifa mbalimbali.