Habari RFI-Ki
Kenya : Mfalme Charles III akosa kuomba msamaha licha ya matarajio
Imechapishwa:
Cheza - 09:55
Katika makala haya tunajadili hatua ya mfalme wa Uingereza Charlers wa III, kujutia vitendo vya kikoloni vilivyotekelezwa nchini Kenya bila kuomba radhi kama alivyotarajiwa, huku rais wa Ujerumani Frank-Walter Steinmeier, akikiri makosa ya kikoloni yaliofanyika nchini Tanzania, na kuomba msamaha