Habari RFI-Ki
Mada Huru: Msikilizaji kuzungumzia habari alizoziskia wiki nzima
Imechapishwa:
Cheza - 10:00
Habari zilizoangaziwa ni pamoja na msimamo aliouchukua rais wa Uganda Yoweri Museveni, baada ya benki ya dunia kusitisha ufadhili kwa taifa hilo kutokana na kuweka sheria kali dhidi ya wapenzi wa jinsia moja.