Habari RFI-Ki
Mali yaidhinisha katiba mpya baada ya kura ya maoni ya mwezi uliopita
Imechapishwa:
Cheza - 10:00
Nchi ya Mali kupitia kiongozi wake wa kijeshi Kanali Assimi Goita imetangaza katiba mpya ya nchi hiyo na ambayo upinzani imepinga na hivyo kutishia maandamano.Uchaguzi wa nchi hiyo ulitarajiwa kufanywa mnamo Februari 2022, lakini ukaahirishwa hadi Februari 2024.