Habari RFI-Ki
Mataifa ya Afrika yazidi kukopa fedha kutoka mataifa ya Magharibi.
Imechapishwa:
Cheza - 10:00
Nchi za Afrika zimezidi kukopa kutoka kwa shirika la fedha duniani IMF ,vilevile Rais wa Ghana amewataka viongozi wa Afrika kuacha kuomba mikopo kutoka kwa nchi za Magharibi. Tumekuuliza Kwa nini unafikiri Afrika inahitaji mikopo zaidi? je, nini athari za mikopo hii kwa uchumi?Sikiliza makala habari rafiki kwa mengi zaidi