Habari RFI-Ki
Timu ya Argentina yanyakua ushindi katika michuano ya kombe la dunia mwaka 2022 .
Imechapishwa:
Cheza - 10:01
Timu ya taifa ya Argentina ndio mabingwa wa kombe la dunia mwaka 2022 katika mchezo wa soka baada ya kuishinda ufaransa kwenye mikwaju ya penalty hapo jana.Tumewauliza wasikilizaji weru wa RFI kiswahili wanazungumziaje ushindi wa Argentina na je Ni mchezaji yupi aliyewavutia katika mashindano hayo?