Habari RFI-Ki
Morrocco kuelekea nusu fainali kwenye michuano ya Kombe la dunia nchini Qatar
Imechapishwa:
Cheza - 10:01
Timu ya taifa ya Morrocco imejikatia nafasi katika nusu fainali .Na kwenye makala yetu tumekuuliza Unadhani Morocco inaweza kushinda kombe la dunia? Hadi sasa ni timu ipi imekupendeza na mchezaji wako bora ni nani?Sikiliza Habari Rafiki .