Habari RFI-Ki
Hatuwa ya rais wa Guinea Ikweta Teodoro Obiang kutangaza kuwania tena urais
Imechapishwa:
Cheza - 10:00
Karibu kwenye Makala yetu Habari Rafiki, Juma hili utakuwa naye Billy Bilali na leo tunazungumzia kuhusu hatuwa ya Rais wa Guinea Ekweta, Teodoro Obiang Nguema Mbasogo, juma lililopita alitangaza kuwa atawania tena urais katika uchaguzi wa Novemba licha ya umri wake na kuongoza nchi hiyo kwa kipindi cha miaka 43.Unamtazamo gani kuhusu uamuzi huu?Nini kifanyike kubadilisha mwenendo kama huu?Hali ikoje nchini mwako?