Pata taarifa kuu
Gurudumu la Uchumi

Nguo za mitumba zapigwa marufuku nchini Uganda

Imechapishwa:

Serikali ya Uganda imepiga marufuku uingizwaji na uuzwaji wa nguo kukuu maarufu kama mitumba nchini humo. Rais Yoweri Museveni anasema, hatua hiyo itasaidia kukusa viwanda vya ndani vya nguo na kuunda ajira hasa kwa vijana. Mwandishi wetu wa Kampala Kenneth Lukwago anatueleza zaidi.

Biashara ya mitumba
Biashara ya mitumba AFP - SIMON MAINA
Vipindi vingine
Ukurasa haipatikani

Maudhui unayojaribu kuyatafuta hayapatikani kwa sasa au yamekwishaondolewa.